Kukutana kwa Mara ya Kwanza
Yeo alikulia katika familia ya Kibudha huko Ufilipino. Alikumbuka wakati ambapo haikuwa salama kwenda sokoni kwa sababu Waislamu walikuwa wanawaua Wabudha kwa sababu ya dini yao. Wakati mwingine Yeo alikwenda na mama yake katika hekalu la Kibudha ili kuchoma uvumba. Siku moja dada yake alikuwa anaumwa na alikuwa anakufa. Madaktari walikuwepo lakini hawakuweza kusadia. Mama yake na Yeo aliomba sana bila kukoma ili Buddha amsaidie.
