Kukutana kwa Mara ya Kwanza
Peter alikuwa njiani kuelekea kanisani alipoona alama kubwa: “Siku ya Hukumu, Mei 21, 2011. Biblia imethibitisha!” Peter alifikiri angefanya nini endapo ujumbe huu ni kweli. Aliona kwamba hakukuwa na sababu ya kupeleka Watoto wake shule, au kumalizia ujenzi wa nyumba yake, au kulipa fedha alizokuwa ameazima. Alifikiri pengine angetoa fedha zake zote ili kusaidia kusambaza ujume.