Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
Sections
navigate open
See all results →
Tamaduni za Imani za Ulimwengu

Tamaduni za Imani za Ulimwengu

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Umomoni

13 min read

by Stephen Gibson


Kukutana kwa Mara ya Kwanza

John alikutana nao kwa mara ya kwanza alipokuwa anapita kati kati ya bustani ya mapumziko alipokuwa naelekea nyumbani kwake. Walikuwa ni vijana wawili wa kiume waliokuwa wamevaa suluali nyeusi na mashati meupe, walikuwa wamevaa vijibao vya majina. Walikuwa na hali ya urafiki na walitaka kuzungumza naye kuhusiana na dini yao. John aliwasikiliza na hakuuliza maswali mengi. Walionekana kutokea katika makanisa ya kawaida na walionekana kuongea mambo yale yale aliyoyasikia kanisani. Walisema wao wanatokea katika kanisa la Yesu Kristo la Mitume wa mwisho, ambalo pia linaitwa Momoni.