Kukutana kwa Mara ya Kwanza
Shang Hui alikuwa mchungaji huko China. Alianza kusikia watu wanaacha kanisa ili kujiunga na Kanisa la Mungu Mwenyezi. Hata wazazi wake walikuwa wamejiunga. Alipokutana na washirika wa Imani potofu, walisema, “Jina la Mungu lilikuwa ni Yehova, lakini wakati huo alikuwa ni Yesu duniani. Mungu anaweza kutenda jambo jipya tena, na kuwa Kristo mwingine duniani.” Shang alichanganyikiwa kwa mafundisho yao. Alivunjika moyo katika huduma yake kwa sababu Imani potofu ilikuwa inakua kwa haraka.