Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
Sections
navigate open
See all results →
Tamaduni za Imani za Ulimwengu

Tamaduni za Imani za Ulimwengu

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 18: Kuelewa Uorthodox wa Mashariki

9 min read

by Stephen Gibson


Kukutana kwa Mara ya Kwanza

Kwa Kadiri Jonathan alipokuwa anaufahamu Uorthodoxy wa Mashariki, alivutiwa na namna ambavyo wamekuwa wakivumilia mateso kutoka kwa Waislamu na Wakomunisti katika nchi nyingi. Mashujaa wao sio wachungaji wa makanisa makubwa au viongozi wa muziki. Mashujaa wao ni wafia Imani. Jonathan alifikiri kwamba endapo mateso yanatakuwa makubwa kila mahali, waamini wa Uorthodoxy wa Mashariki ndio watakao vumilia.