Kukutana kwa Mara ya Kwanza
James alikuwa anaangalia ibada ya kanisa katika televisheni. Kanisa lilikuwa linazungumzia kutoa kwa ajili ya mradi maalumu. Muhubiri kanisani aliomba kwa ajili ya baraka kwa yeyote ambaye atatoa fedha kwa ajili ya mradi. Muhubiri alihaidi kwamba yeyote atakayetoa atapokea kutoka kwa Mungu mara mia zaidi ya kile walichokitoa. James alifikiri kama angechangia kwa njia ya mtandao au la.