Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Ni kwa namna gani tunafahamu kwamba mfano wa Mungu ndani ya wanadamu si mfanano wa kimwili/kifizikia/wa nje.
-
Sifa nane za mfano wa Mungu ndani ya mwanadamu.
-
Kwamba mtu ametengenezwa mahususi kwa ajili ya mahusiano na Mungu.
-
Namna ambayo watu wana uhuru wa kuchagua.
-
Kwamba watu wana thamani isiyo na mipaka zaidi ya thamani ya kivitendo ya ulimwengu huu
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na mwanadamu.
(2) mwanafunzi ataelewa kwamba hawezi kutimilika kama nafsi pasipo kuwa na mahusiano na Mungu.