Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Msingi wa shughuli za mbinguni.
-
Sifa za mbinguni zilizofunuliwa katika Maandiko.
-
Sifa za adhabu ya milele zilizofunuliwa katika Maandiko.
-
Baadhi ya mifano ya dini ambazo zinakana kweli ya adhabu ya milele.
-
Haki ya adhabu ya milele.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na hatima ya milele.
(2) Mwanafunzi atakumbuka kwamba baadhi ya matendo yana matokeo ya milele ambayo hayawezi kubadilishwa.