Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Inamaanisha nini kwamba Yesu ni Masihi.
-
Kauli ya imani iliyo katika kirai “Bwana Yesu Kristo.”
-
Ushahidi na umuhimu wa ubinadamu wa Yesu.
-
Ushahidi na umuhimu wa uungu wa Yesu.
-
Utoshelevu wa kifo cha Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
-
Umuhimu wa ufufuo kwa imani ya Kikristo.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Kristo.
(2) Mwanafunzi atajifunza yale ambayo watu wa dini nyingine husema kuhusu Kristo.