Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 7: Kristo

17 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Inamaanisha nini kuwa Yesu ni Masihi.

  • Tamko la Imani kuhusiana na “Bwana Yesu Kristo.”

  • Ushahidi na umuhimu wa uanadamu wa Yesu.

  • Ushahidi na umuhimu wa uungu wa Yesu.

  • Utoshelevu wa kifo cha Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi.

  • Umuhimu wa ufufuo kwa Imani ya Kikisto.

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Kristo.

(2) Mwanafunzi atajifunza ni nini watu wa baadhi ya dini nyingine wanasema kuhusu Kristo.