Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Inamaanisha nini kuwa Yesu ni Masihi.
-
Tamko la Imani kuhusiana na “Bwana Yesu Kristo.”
-
Ushahidi na umuhimu wa uanadamu wa Yesu.
-
Ushahidi na umuhimu wa uungu wa Yesu.
-
Utoshelevu wa kifo cha Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
-
Umuhimu wa ufufuo kwa Imani ya Kikisto.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Kristo.
(2) Mwanafunzi atajifunza ni nini watu wa baadhi ya dini nyingine wanasema kuhusu Kristo.