Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 7: Kristo

17 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Inamaanisha nini kwamba Yesu ni Masihi.

  • Kauli ya imani iliyo katika kirai “Bwana Yesu Kristo.”

  • Ushahidi na umuhimu wa ubinadamu wa Yesu.

  • Ushahidi na umuhimu wa uungu wa Yesu.

  • Utoshelevu wa kifo cha Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi.

  • Umuhimu wa ufufuo kwa imani ya Kikristo.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Kristo.

(2) Mwanafunzi atajifunza yale ambayo watu wa dini nyingine husema kuhusu Kristo.