Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Upendeleo na umuhimu wa ushindi wa mwamini dhidi ya dhambi.
-
Neema ya Mungu inayosababisha maisha yenye ushindi.
-
Maisha ya Kiroho ambayo huja kutokana na uhusiano na Kristo.
-
Maonyo katika maandiko kuhusiana kuanguka toka neema.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na masuala mahususi ya wokovu.
(2) Mwanafunzi atakuwa na matarajio makubwa ya kuishi maisha ya ushindi dhidi ya dhambi.