Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 9: Masuala ya Wokovu

16 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Fursa na umuhimu wa ushindi wa muumini dhidi ya dhambi.

  • Neema ambayo Mungu hutoa kwa ajili ya kuishi kwa ushindi.

  • Maisha ya kiroho yanayotokana na uhusiano na Kristo.

  • Maonyo ya kimaandiko kuhusu kuanguka kutoka katika neema.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu masuala mahususi ya wokovu.

(2) Mwanafunzi atakuwa na matarajio makubwa ya kuishi katika ushindi dhidi ya dhambi.