Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 11: Utakatifu wa Kikristo

16 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Matumizi ya Biblia ya neno takatifu.

  • Utakatifu wa Mungu kama msingi wa utakatifu wa Kikristo.

  • Umuhimu wa utakatifu kwa ajili ya ibada na uhusiano na Mungu.

  • Mifano ya Biblia ya matukio ya utakaso.

  • Tabia za kufikia ukomavu wa kiroho.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu utakatifu wa Kikristo.

(2) Mwanafunzi atakuwa na imani kwamba neema ya Mungu itamfanya awe mtakatifu katika ulimwengu wa sasa.