Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Matumizi ya Kibiblia ya neno utakatifu.
-
Utakatifu wa Mungu kama msingi wa utakatifu wa Kikristo.
-
Umuhimu wa utakatifu kwa ajili ya ibada na uhusiano na Mungu.
-
Mifano ya kibiblia ya utakaso.
-
Mazoezi ya ukuaji wa kiroho
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na kuhusu utakatifu wa Kikristo.
(2) Mwanafunzi atakuwa na imani kuwa neema ya Mungu itamfanya awe mtakatifu katika ulimwengu wa sasa.