Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 11: Utakatifu wa Kikristo

16 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Matumizi ya Kibiblia ya neno utakatifu.

  • Utakatifu wa Mungu kama msingi wa utakatifu wa Kikristo.

  • Umuhimu wa utakatifu kwa ajili ya ibada na uhusiano na Mungu.

  • Mifano ya kibiblia ya utakaso.

  • Mazoezi ya ukuaji wa kiroho

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na kuhusu utakatifu wa Kikristo.

(2) Mwanafunzi atakuwa na imani kuwa neema ya Mungu itamfanya awe mtakatifu katika ulimwengu wa sasa.