Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Matumizi ya Biblia ya neno takatifu.
-
Utakatifu wa Mungu kama msingi wa utakatifu wa Kikristo.
-
Umuhimu wa utakatifu kwa ajili ya ibada na uhusiano na Mungu.
-
Mifano ya Biblia ya matukio ya utakaso.
-
Tabia za kufikia ukomavu wa kiroho.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu utakatifu wa Kikristo.
(2) Mwanafunzi atakuwa na imani kwamba neema ya Mungu itamfanya awe mtakatifu katika ulimwengu wa sasa.