Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Wokovu

14 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Kwa nini msalaba ni kwazo kwa watu wengi.

  • Hali ya mwenye dhambi.

  • Umuhimu wa upatanisho kwa ajili ya msamaha.

  • Maana ya toba.

  • Vipengere vya Imani iokoayo.

  • Kwa nini upatanisho ni toshelevu kwa watu wote na dhambi zote.

  • Msingi wa uthibitisho binafsi wa wokovu.

  • Ukombozi wa uumbaji kwa ujumla.

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na wokovu.

(2) Mwanafunzi ataelewa kosa la dini zisizo na toba.