Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Wokovu

14 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Kwa nini msalaba ni chukizo kwa watu wengi.

  • Hali ya mwenye dhambi.

  • Umuhimu wa upatanisho kwa ajili ya msamaha.

  • Maana ya toba.

  • Vipengele vya imani inayookoa.

  • Kwa nini upatanisho unatosha kwa watu wote na dhambi zote.

  • Msingi wa uhakikisho wa kibinafsi wa wokovu.

  • Ukombozi wa uumbaji kwa ujumla.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu wokovu.

(2) Mwanafunzi ataelewa kosa la dini bila toba.