Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Sifa zinaoonesha kwamba Roho Mtakatifu ni nafsi.
-
Ushahidi wa Kibiblia kuhusiana na nafsi na uungu wa Roho Mtakatifu.
-
Kwa nini nafsi na uungu wa Roho Mtakatifu ni fundisho muhinu na la msingi.
-
Kazi za kihistoria na za wakati uliopo za Roho Mtakatifu.
-
Nyanja za kivitendo za mahusiano ya waamini pamoja na Roho Mtakatifu.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Roho Mtakatifu.
(2) Mwanafunzi atatendea kazi baadhi ya kanuni kuhusiana na karama za Roho.