Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Baadhi ya taarifa za kina kuhusiana na asili ya malaika.
-
Kuhusika kwa malaika katika maisha ya mwamini.
-
Anguko la Shetani na roho nyingine chafu.
-
Mgogoro wa Kiroho uliopo katika ulimwengu wa roho.
-
Ushindi mkuu wa Mungu na waamini dhidi ya nguvu za giza.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na roho.
(2) Mwanafunzi ataepuka kuwa na shahuku isiyo sahihi katika ulimwengu wa roho.
