Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 6: Roho

12 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Maelezo fulani kuhusu asili ya malaika.

  • Kuhusika kwa malaika katika maisha ya muumini.

  • Anguko la Shetani na pepo wengine wabaya.

  • Mgogoro wa kiroho uliopo katika ulimwengu wa roho.

  • Ushindi wa mwisho wa Mungu na waumini dhidi ya roho ovu.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu roho.

(2) Mwanafunzi atajiepusha na kuvutiwa kwa njia mbaya na ulimwengu wa roho.