Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Maelezo fulani kuhusu asili ya malaika.
-
Kuhusika kwa malaika katika maisha ya muumini.
-
Anguko la Shetani na pepo wengine wabaya.
-
Mgogoro wa kiroho uliopo katika ulimwengu wa roho.
-
Ushindi wa mwisho wa Mungu na waumini dhidi ya roho ovu.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu roho.
(2) Mwanafunzi atajiepusha na kuvutiwa kwa njia mbaya na ulimwengu wa roho.
