Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Kwa nini dhana ya mtu kuhusu Mungu ni muhimu sana.
-
Jinsi ukweli kwamba Mungu ni Muumba unamfanya awe tofauti na vitu vingine vyote.
-
Sifa za Mungu: maana ya yeye kuwa mwenye nafsi, roho, wa milele, mwenye Utatu, mweza yote, yuko kila mahali, asiyebadilika, ajuaye yote, mtakatifu, mwenye haki, na mwenye upendo.
-
Jinsi kila sifa ya Mungu ilivyo muhimu katika uhusiano wetu naye.
-
Mtazamo wa kibiblia wa ukuu wa Mungu.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Mungu.
(2) Mwanafunzi ataepuka kosa la kutoelewa umuhimu wa aina za ibada.