Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Kwa nini dhana ya mtu kuhusiana na Mungu ni muhimu.
-
Ni kwa namna gani kwamba Mungu ni muumbaji kunamfanya Yeye kuwa tofauti na vingine vyote.
-
Sifa za Mungu: inamaanisha nini kwamba yeye ni nafsi, roho, wa milele, wa utatu, mwenye nguvu zote, aliye kila mahali kwa wakati mmoja, anayejua yote, mtakatifu, mwenye haki na wa upendo.
-
Ni kwa namna gani kila sifa ya Mungu ni muhimu kwa ajili ya mahusiano yetu na Yeye.
-
Mtazamo wa Kibiblia kuhusiana na Mungu mwenyezi.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Mungu.
(2) Mwanafunzi ataepuka kosa la uelewa usio sahihi kuhusiana na umuhimu wa aina za ibada.