Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Sifa za Mungu

12 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Kwa nini dhana ya mtu kuhusiana na Mungu ni muhimu.

  • Ni kwa namna gani kwamba Mungu ni muumbaji kunamfanya Yeye kuwa tofauti na vingine vyote.

  • Sifa za Mungu: inamaanisha nini kwamba yeye ni nafsi, roho, wa milele, wa utatu, mwenye nguvu zote, aliye kila mahali kwa wakati mmoja, anayejua yote, mtakatifu, mwenye haki na wa upendo.

  • Ni kwa namna gani kila sifa ya Mungu ni muhimu kwa ajili ya mahusiano yetu na Yeye.

  • Mtazamo wa Kibiblia kuhusiana na Mungu mwenyezi.

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Mungu.

(2) Mwanafunzi ataepuka kosa la uelewa usio sahihi kuhusiana na umuhimu wa aina za ibada.