Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Sifa za Mungu

12 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Kwa nini dhana ya mtu kuhusu Mungu ni muhimu sana.

  • Jinsi ukweli kwamba Mungu ni Muumba unamfanya awe tofauti na vitu vingine vyote.

  • Sifa za Mungu: maana ya yeye kuwa mwenye nafsi, roho, wa milele, mwenye Utatu, mweza yote, yuko kila mahali, asiyebadilika, ajuaye yote, mtakatifu, mwenye haki, na mwenye upendo.

  • Jinsi kila sifa ya Mungu ilivyo muhimu katika uhusiano wetu naye.

  • Mtazamo wa kibiblia wa ukuu wa Mungu.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Mungu.

(2) Mwanafunzi ataepuka kosa la kutoelewa umuhimu wa aina za ibada.