Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 5: Dhambi

11 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Asili ya dhambi.

  • Maneno ya kibiblia ya dhambi.

  • Ufafanuzi na maelezo kuhusu upotovu wa kurithi.

  • Dhana ya kibiblia ya dhambi ya makusudi.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu dhambi.

(2) Mwanafunzi ataelewa uongofu vyema zaidi akiwa na ufafanuzi wa kueleweka wa dhambi ya makusudi.