Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 1: Kitabu cha Mungu

16 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Dhana za Ufunuo wa Jumla na Ufunuo Maalumu.

  • Ushahidi kwamba Biblia ni Neno la Mungu.

  • Uvuvio wa Maandiko.

  • Kwa nini Uvuvio wa Maandiko unamaanisha kwamba haina makosa.

  • Maneno iliyovuviwa, isiyo na makosa, na sahihi.

  • Kwa nini Biblia imemalizika na haiwezi kupanuliwa/kuongezwa?

  • Ni kwa namna gani Biblia ni chanzo cha msingi na mamlaka ya mwisho kwa ajili ya mafundisho?

  • Ni kwa namna gani Biblia ni muhimu kwa Maisha ya kila siku ya mkristo.

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Biblia.

(2) Mwanafunzi aepuke kusikiliza mamlaka isiyo sahihi au kujifunza Biblia akiwa na kusudi lenye mipaka.