Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 12: Kanisa

10 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Asili ya kanisa.

  • Kanisa kama taasisi iliyo hai.

  • Kanisa kama kutaniko lililo hai la kieneo.

  • Msingi wa umoja wa kanisa la dunia nzima.

  • Msingi wa umoja wa kanisa la kieneo.

  • Sakramenti za kanisa.

  • Malengo ya kanisa.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu kanisa.

(2) Mwanafunzi ataona wajibu wake wa kujitolea katika kanisa la eneo lake.