Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →
Misingi ya Imani ya Kikristo

Misingi ya Imani ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 12: Kanisa

10 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:

  • Asili au Chanzo cha kanisa.

  • Kanisa kama taasisi iliyo hai.

  • Kanisa kama mwili wa Kristo wa mahali pamoja.

  • Msingi wa umoja wa kanisa la kiulimwengu.

  • Msingi wa umoja wa kanisa la mahali pamoja.

  • Sakramenti/huduma za kanisa.

  • Makusudi ya kuwepo kwa kanisa.

  • Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na kanisa.

(2) Mwanafunzi ataona wajibu wake katika kujitoa kikamilifu kwa kanisa la mahali Pamoja.