Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Asili ya kanisa.
-
Kanisa kama taasisi iliyo hai.
-
Kanisa kama kutaniko lililo hai la kieneo.
-
Msingi wa umoja wa kanisa la dunia nzima.
-
Msingi wa umoja wa kanisa la kieneo.
-
Sakramenti za kanisa.
-
Malengo ya kanisa.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu kanisa.
(2) Mwanafunzi ataona wajibu wake wa kujitolea katika kanisa la eneo lake.
