Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Ngazi za umuhimu katika mada kuhusiana na matukio ya mwisho.
-
Kurudi kwa Yesu na maana yake kwa Maisha ya Wakristo.
-
Ufufuo wa watu wote na thamani ya mwili.
-
Hukumu ya mwisho ya viumbe vyote.
-
Ufalme wa milele wa Mungu.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na matukio ya mwisho.
(2) Mwanafunzi atafahamu umuhimu wa kuona Maisha ya duniani katika mtazamo wa umilele.