Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 14: Matukio ya Mwisho

10 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Viwango vya umuhimu katika mada zinazohusu matukio ya mwisho.

  • Kurudi kwa Kristo na maana yake kwa maisha ya Kikristo.

  • Ufufuo wa watu wote na thamani ya mwili.

  • Hukumu ya mwisho ya viumbe wote wenye ufahamu wa maadili.

  • Ufalme wa milele wa Mungu.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu matukio ya mwisho.

(2) Mwanafunzi atajua umuhimu wa kuona maisha ya duniani kwa mtazamo wa umilele.