Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuelezea:
-
Kusudi na matumizi ya tamko kama tamko la Imani.
-
Baadhi ya mifano ya kibiblia ya matamko ya Imani.
-
Asili ya yaliyomo katika matamko matatu ya kihistoria.
-
Kwa nini Wakristo wanapaswa kushikilia Ukristo wa Kihistoria.
-
Tamko la Imani ya Kikristo kuhusiana na Matamko ya Imani.
(2) Mwanafunzi atathamini msingi wa Imani wa kanisa la kwanza kama asili ya Ukristo.
