Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 1: Utangulizi wa Kutafsiri Maandiko

12 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kufahamu kwa nini kujifunza Biblia kwa kina ni muhimu kwa mkristo.

(2) Kuwa na uwezo wa kutaja hatua tatu muhimu za kujifunza Biblia.

(3) Anza mchakato wa kujifunza kwa umakini kifungu cha andiko kilichochaguliwa.

(4) Kutambua umuhimu wa kuangaziwa na Roho Mtakatifu kwa ajili ya kutafsiri Biblia.