Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Tafsiri: Kanuni za Jumla

15 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kuelewa kanuni za msingi za Kutafsiri Biblia.

(2) Kutumia kanuni hizi wakati wa kujifunza andiko.

(3) Kuwa makini na namna ambavyo kushindwa kufuata kanuni hizi kutapelekea kwenye makosa katika mafundisho.