Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 5: Tafsiri: Muktadha

14 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kuelewa thamani ya mazingira ya nyuma ya kihistoria-kiutamaduni kwa ajili ya kutafsiri Maandiko.

(2) Tumia maswali ili kugundua mazingira ya nyuma ya kihistoria-kiutamaduni ya kifungu cha andiko.

(3) Tambua ni kwa namna gani mstari mahususi unakaa vizuri katika muktadha unaozunguka mstari.

(4) Epuka makossa yaliyozoeleka katika kujifunza muktadha.