Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 6: Tafsiri: Aina za Fasihi

36 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kutambua sifa za aina mbalimbali za fasihi zinazopatikana katika maandiko.

(2) Kuelewa ni kwa namna gani aina ya fasihi inaathiri tafsiri ya andiko.

(3) Tambua endapo simulizi mahususi ya kihistoria katika maandiko inapaswa kutafsiriwa kama kielelezo cha kufuata.

(4) Tambua kanuni ambazo zinafanya kazi kwa watu wote wa nyakati zote katika kifungu chochote cha maandiko.

(5) Tambua matumizi ya vifungu vya Agano la Kale kwa ajili ya mwamini leo.