Malengo ya Somo
(1) Kutambua sifa za aina mbalimbali za fasihi zinazopatikana katika maandiko.
(2) Kuelewa ni kwa namna gani aina ya fasihi inaathiri tafsiri ya andiko.
(3) Tambua endapo simulizi mahususi ya kihistoria katika maandiko inapaswa kutafsiriwa kama kielelezo cha kufuata.
(4) Tambua kanuni ambazo zinafanya kazi kwa watu wote wa nyakati zote katika kifungu chochote cha maandiko.
(5) Tambua matumizi ya vifungu vya Agano la Kale kwa ajili ya mwamini leo.