Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Uchunguzi: Kuangalia Sehemu Kubwa

20 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kutambua umuhimu wa muktadha wakati wa kusoma Maandiko.

(2) Kuwa makini sana na kusudi na nia ya waandishi wa Biblia kwa kuchunguza taarifa za kina ambazo zinasisitizwa katika kitabu.

(3) Kutendea kazi Uchunguzi wa sehemu kubwa ya Maandiko.

(4) Kukusanya taarifa katika jedwali kwa ajili ya kujifunza zaidi.