Kanuni za Kutafsiri Biblia
Kanuni za Kutafsiri Biblia
Audio Course

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Uchunguzi: Kuutazama Mstari

18 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

(1) Kuelewa umuhimu wa kusoma maandiko kwa umakini.

(2) Kuuliza maswali muhimu kwa kila mstari unaojifunza.

(3) Kuwa na mpango wa kujifunza maandiko kwa mpangilio maalumu.

(4) Kufanyia kazi utengenezaji wa Uchunguzi wa kina wa kifungu kilichochaguliwa.