Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Elezea wajibu ambao Mungu amewapa wazazi.
(2) Elewa umuhimu wa ukuzaji wa tabia mapema.
(3) Kuwezeshwa kwa makusudi ya kupanga kwa ajili ya maendeleo ya watoto katika maeneo tisa ya maisha.
(4) Kuelezea mwingiliano uliopo kati ya hiari huru ya mtoto na vishawishi kutoka nje dhidi a mtoto.
(5) Kujikabidhi kabisa kwa ajili ya uanafunzi wa uaminifu kwa watoto.