Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 9: Lugha Tano za Upendo – Sehemu ya 2

28 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Kuelewa lugha tano ambazo ndani yake upendo hudhihirishwa.

(2) Kujadili hatari zinazohusiana na matumizi mabaya au kupuuzia mojawapo ya lugha tano za upendo.

(3) Kuelezea faida za mhemuko wa tanki la watoto kujaa.

(4) Kutambua lugha za msingi za upendo za wanafamilia wa karibu.

(5) Kuorodhesha njia mahususi za kuonyesha upendo kwa wanafamilia katika kila mojawapo ya lugha tano za upendo.

(6) Kujitolea kuonyesha upendo kwa ajili ya wanafamilia katika lugha zao za msingi za upendo.