Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Kuelewa lugha tano ambazo ndani yake upendo hudhihirishwa.
(2) Kujadili hatari zinazohusiana na matumizi mabaya au kupuuzia mojawapo ya lugha tano za upendo.
(3) Kuelezea faida za mhemuko wa tanki la watoto kujaa.
(4) Kutambua lugha za msingi za upendo za wanafamilia wa karibu.
(5) Kuorodhesha njia mahususi za kuonyesha upendo kwa wanafamilia katika kila mojawapo ya lugha tano za upendo.
(6) Kujitolea kuonyesha upendo kwa ajili ya wanafamilia katika lugha zao za msingi za upendo.