Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 14: Malezi wakati wa Ujana

18 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Aelewe vipaumbele vya Mungu kwa ajili ya vijana.

(2) Kuchukua jukumu la kushawishi na kufundisha vijana kwenye maandalizi ya kuingia kwenye utu uzima.

(3) Kuwa na motisha wa kutengeneza mahusiano yenye afya/nguvu na yenye kuzaa matunda kwa vijana.

(4) Kuwa tayari kujazwa na kuwezeshwa kufuata kanuni za kimaandiko wakati wa kukabiliana na changamoto za ujana.