Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Aelewe vipaumbele vya Mungu kwa ajili ya vijana.
(2) Kuchukua jukumu la kushawishi na kufundisha vijana kwenye maandalizi ya kuingia kwenye utu uzima.
(3) Kuwa na motisha wa kutengeneza mahusiano yenye afya/nguvu na yenye kuzaa matunda kwa vijana.
(4) Kuwa tayari kujazwa na kuwezeshwa kufuata kanuni za kimaandiko wakati wa kukabiliana na changamoto za ujana.