Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 4: Masuala ya Kujamiiana

35 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Aweze kuelezea ni kwa jinsi gani Anguko liliweza kuathiri asili ya mwanadamu na matamanio ya kujamiiana.

(2) Aweze kufafanua kuhusu utambulisho binafsi na jinsi unavyohusiana na maadili ya kibinafsi.

(3) Kumbatia mtazamo wa kibiblia kuhusu uasili wa jinsia ya binadamu na kuepuka uasherati.

(4) Kutafuta uhuru wa kutoka katika dhambi na kupata ushindi wakati wa majaribu ya uasherati.

(5) Kuwa mtumishi uliyetayarishwa kuhudumia wengine wanaohitaji msaada na ushindi.