Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 13: Mambo Yanayohusu Kulea Mtoto

22 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Apate mtazamo wa Mungu kuhusu nidhamu na usahihishaji wa watoto.

(2) Ajitolee kutengeneza mazingira mazuri ya nyumbani kwa ajili ya kufanya uanafunzi kwa watoto.

(3) Kuelewa wajibu wa mtoto kwa Mungu.

(4) Ajazwe na mawazo ya vitendo kwa ajili ya hali za kila siku za malezi.