Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 11: Maendeleo na Utunzaji wa Mtoto

12 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Atambue vyema kazi ya Mungu ya ajabu katika uumbaji wa kila mtu.

(2) Aamini kwamba maisha ya mwanadamu ni ya heshima sana.

(3) Kuhamasika katika kuyalinda maisha ya mwanadamu kuanzia tu kwenye kipindi cha kutunga kwa mimba.

(4) Umuhimu wa malezi ya wazazi kwa ajili ya ukuaji endelevu wa afya kwa watoto.