Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 1: Kuumbwa kwa ajili ya Mahusiano

13 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Atambue na athamini uhusiano ambao Mungu anataka awe nao Pamoja nasi.

(2) Aelewe na athamini sura ya Mungu kwa kila mtu.

(3) Atambue kwamba sisi tunawajibika kwa Mungu kwa ajili ya chaguzi mbalimbali tunazozifanya katika mahusiano yetu.

(4) Afahamu kwamba Biblia ndiyo mwongozo wetu kwa ajili ya mahusiano ya kimungu, na kwamba tunapaswa tumtafakari Mungu katika mahusiano yetu.