Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Dhana ya Biblia kuhusu Ndoa

17 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Kujitoa kwa ajili ya mpango na makusudi ya Mungu kwenye ndoa.

(2) Kujitoa kwa utii wa kibinafsi kwa kanuni za Mungu kwa ajili ya ndoa ya Kikristo.

(3) Atakuwa amewezeshwa kwa ajili ya kufundisha watu wengine kuhusu ndoa ya kibiblia.