Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Tambua umuhimu wa kuchagua mwenzi wa ndoa kwa hekima.
(2) Elezea aina ya mtu anayestahili kuwa mwenzi wa mtu aliyeokoka kwa kuzingatia juu ya vipaumbele na kanuni za kibiblia.
(3) Tekeleza kanuni za kibiblia katika mchango wa wazazi kwenye mahusiano kabla ya ndoa.
(4) Fanya maamuzi ya hekima kwenye urafiki kabla ya ndoa.