Malengo ya Somo
Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:
(1) Kuuelewa useja kutokana na mtazamo wa kibiblia.
(2) Kutambua vipaumbele vya kibiblia kwa ajili ya uchaguzi kuhusu ndoa na useja.
(3) Kujikabidhi kabisa kwenye usafi wa kimaadili, tabia ya kimungu, na huduma yenye matunda katika kipindi hiki cha maisha.
(4) Kujisalimisha kwa Yesu kama Bwana na kuwa wake uliyekamilika ndani yake.