Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 2: Familia ya Kibiblia

23 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Kuelewa jinsi ndoa inavyotakiwa kuakisi mahusiano yaliyoko katika Utatu Mtakatifu wa Mungu.

(2) Akubaliane na mpango wa Mungu kuhusu kupata watoto.

(3) Kuelewa jinsi Anguko la mwanadamu lilivyoathiri ndoa na mahusiano ya kifamilia.

(4) Athamini jinsi mapenzi ya Mungu yanavyokuwa yanatekelezwa licha ya kasoro za kibinadamu zilizopo.

(5) Atambue kwamba utiifu kwenye mpango wa Mungu unaweza ukaisaidia familia yeyote kuwa familia ya ukombozi.