Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →

Lesson

Playlist

Mapitio ya Agano Jipya

Mapitio ya Agano Jipya

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 9: Timotheo na Tito: Nyaraka kwa Wachungaji

13 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kufahamu tarehe sahihi na mazingira ya kihistoria ya Nyaraka za Kichungaji.

(2) Kuorodhesha mada kuu na kusudi la Nyaraka za Kichungaji.

(3) Kuibua sifa za kibiblia kwa viongozi wa Kanisa.

(4) Kupata heshima ya ndani kwa majukumu ya kichungaji kwenye maeneo kama vile mafundisho ya kimaelekezo, taasisi ya kanisa, na uongozi wa Roho Mtakatifu.

(5) Kupewa changamoto kuishi maisha ya uaminifu kwa wito wa Mungu.

(6) kufupisha kanuni za kiutendaji kwa huduma ya Kikristo kutoka kwenye nyaraka za kichungaji.

(7) Kuhusianisha ujumbe wa vitabu hivi katika uhitaji wa ulimwengu wa leo.