Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa: (1) Kufahamu jiografia ya Palestina na umuhimu wake kwa Agano Jipya. (2) Kuelewa mazingira ya Kihistoria ya Agano Jipya. (3) Kutambua ushawishi wa Kirumi, Kiyunani/Kigiriki, na Kiyahudi kwa Agano Jipya. (4) Kuelewa baadhi ya desturi za kale za Agano Jipya. (5) Kuwa na uwezo wa kuelezea sababu za kuamini mamlaka ya Agano Jipya.
(6) Kutambua namna Mungu alivyouandaa ulimwengu kwa ajili ya ujio wa Kristo na kusambaa kwa Injili.