Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa: (1) Kufahamu tarehe zinazokadiriwa na mazingira ya kihistoria ya Waebrania na Yakobo. (2) Kuorodhesha mada kuu na kusudi la Waebrania na Yakobo. (3) kutambua upendeleo na majukumu yetu chini ya Agano Jipya. (4) Kutii maonyo ya Kibiblia dhidi ya uasi. (5) Kuelewa uhusiano kati ya imani na kazi katika maisha ya Mkristo. (6) Kutekeleza kanuni kwa vitendo kwa Mkristo kuishi kutokana na Waebrania na Yakobo.
(7) Kuhusianisha ujumbe wa vitabu hivi na mahitaji ya ulimwengu wa leo.