Malengo ya Somo
Kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:
(1) Kufahamu usuli (nyuma ya mambo) wa kihistoria na kijiografia wa kanisa la kwanza.
(2) kumfahamu mwandishi na tarehe ya Matendo ya Mitume.
(3) Kutambua kusudi na umuhimu wa mada kuu za Matendo ya Mitume.
(4) Kufuatilia kusambaa kwa Injili kutokea Yerusalemu na katika ulimwengu wote wa Rumi.
(5) kufahamu tofauti kati ya mafundisho ambayo ni maelekezo na maelezo katika Matendo ya Mitume.
(6) Kupata ufahamu wa muhtasari wa huduma ya Paulo.
(7) Kuhusianisha ujumbe wa Matendo ya Mitume na mahitaji ya ulimwengu wa leo.