Type at least 2 characters to search
No results found for ""
Courses
Lessons
navigate open
See all results →

Lesson

Playlist

Mapitio ya Agano Jipya

Mapitio ya Agano Jipya

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Yohana: Injili ya Kuamini

11 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa: (1) Kufahamu mwandishi, tarehe, na mazingira ya kihistoria ya injili ya Yohana. (2) Kutofautisha Injili ya Yohana na Injili za Kuona Pamoja. (3) Kutambua dhamira na kusudi la Injili ya Yohana. (4) Kuthamini umuhimu wa vyote viwili uanadamu na uungu wa Yesu. (5) Kuhusianisha ujumbe wa Injili ya Yohana kwa mahitaji ya dunia ya leo. (6) Kutumia yaliyomo ya hili somo katika mazingira ya huduma ya kidini.