Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Kusudi na matumizi ya kauli ya imani kama taarifa ya imani.
-
Baadhi ya mifano ya kanuni za imani katika Biblia.
-
Asili na maudhui ya kanuni tatu za imani za kihistoria.
-
Kwa nini Wakristo wa kisasa lazima washikilie Ukristo wa kihistoria.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu kanuni za imani.
(2) Mwanafunzi atathamini kanuni za msingi za kanisa la awali kama Ukristo wa asili.
.jpg)