Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 3: Utatu wa Mungu

12 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Jinsi ulimwengu ni kielelezo cha asili ya Utatu wa Mungu.

  • Msingi wa kibiblia wa kanuni ya Utatu wa Mungu.

  • Kwa nini kanuni ya Utatu wa Mungu ni msingi wa injili.

  • Mfumo wa mahusiano ndani ya Utatu wa Mungu.

  • Jinsi Utatu wa Mungu unatoa kielelezo cha mahusiano kati ya wanadamu.

  • Jinsi imani yetu katika Utatu wa Mungu inavyoongoza ibada yetu.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu Utatu wa Mungu.

(2) Mwanafunzi ataepuka makosa ya kawaida ambayo watu wamefanya katika kujaribu kueleza Utatu wa Mungu.