Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 4: Ubinadamu

11 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Jinsi tunavyojua kwamba mfano wa Mungu katika ubinadamu si mfano wa kimwili.

  • Sifa nane za mfano wa Mungu katika ubinadamu.

  • Kwamba watu wameumbwa kimahususi kwa ajili ya kuwa katika uhusiano na Mungu.

  • Maana ya jinsi watu wana uhuru wa kuchagua.

  • Kwamba watu wana thamani isiyo na kipimo zaidi ya thamani yao ya kiutendaji katika maisha ya kidunia.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu ubinadamu.

(2) Mwanafunzi ataelewa kwamba hawezi kuridhika akiwa mtu asiye na uhusiano na Mungu.