Kanuni Za Kikristo
Kanuni Za Kikristo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 13: Hatima ya Milele

9 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:

  • Shughuli kuu ya mbinguni.

  • Sifa za mbinguni zilizofunuliwa katika maandiko.

  • Sifa za adhabu ya milele zilizofunuliwa katika maandiko.

  • Baadhi ya dini zinazokana ukweli wa adhabu ya milele.

  • Haki ya adhabu ya milele.

  • Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu hatima ya milele.

(2) Mwanafunzi atakumbuka kwamba kuna matendo yenye matokeo ya milele ambayo hayatabadilika kamwe.