Malengo ya Somo
(1) Mwanafunzi ataweza kueleza:
-
Shughuli kuu ya mbinguni.
-
Sifa za mbinguni zilizofunuliwa katika maandiko.
-
Sifa za adhabu ya milele zilizofunuliwa katika maandiko.
-
Baadhi ya dini zinazokana ukweli wa adhabu ya milele.
-
Haki ya adhabu ya milele.
-
Kauli ya kanuni za Kikristo kuhusu hatima ya milele.
(2) Mwanafunzi atakumbuka kwamba kuna matendo yenye matokeo ya milele ambayo hayatabadilika kamwe.