Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa
Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 9: Zaka

9 min read

by Stephen Gibson


Utangulizi

Somo linalohusu zaka ni lenye kuelekea kuleta mabishano kwenye maeneo mengine. Watu wengine wanafikiri kwamba wazo la utoaji wa zaka halikubaliani au halipatani na wokovu kwa njia ya imani. Wanasema inaelekea kana kwamba ni malipo kwa ajili ya wokovu. Watu wengine hawataki kujisikia wana jukumu la kutoa msaada kwa kanisa. Wanatoa tu kile wanachojisikia kutoa ili mradi ametoa. Katika somo hili tutaangalia kwenye misingi ya Biblia na makusudi ya vitendo ya zaka.

► Je, ni mambo gani umesikia kutoka kwa watu wakisema sababu zilizo kinyume na utoaji wa zaka?