Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa
Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 4: Mashirika ya Kanisa

10 min read

by Stephen Gibson


Elekezo kwa kiongozi wa darasa

Vifaa vinahitajika katika maandalizi ya somo hili. Somo hili linajadili kuhusu uhusiano kati ya makanisa na shirika lao. Kama wanafunzi wanatoka katika kanisa ambalo liko ndani ya shirika, kiongozi wa darasa atapaswa alete nakala ya mambo yanayohitajika katika shirika huo kwa ajili ya kufanya marejeo au tafakuri darasani.