Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 8: Ikolojia ya Mkristo

9 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:

(1) Ataelewa kwa nini Mungu aliumba vitu vyote na kwa nini mtu ni wa kipekee kati ya viumbe vyote.

(2) Ataelewa kwamba Mungu amempa mwanadamu utawala wa kutunza uumbaji.

(3) Kujua njia mbalimbali ya kutunza uumbaji wa Mungu.