Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Kuishi Kikristo Kwa Vitendo
Audio Course Purchase

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 1: Uadilifu wa Mkristo

18 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Mwisho kabisa wa somo hili, mwanafunzi anatakiwa awe na uwezo wa:

(1) Kuelewa ni nini Biblia humaanisha inapozungumza kuhusu “dunia.”

(2) Kutambua maeneo ambayo dunia na maadili yake yameathiri Maisha yake.

(3) Kueleza ni kwa jinsi gani na ni kwanini namna ya kufikiri ya mkristo ni lazima iwe tofauti na mwenye dhambi.

(4) Kuelezea inamaanisha nini mkristo kuishi maisha ya uadilifu.

(5) Kuonyesha kwamba kweli ya kikristo lazima udhihilishwe katika kila Nyanja ya maisha.